WritAfrica

Zero Malaria

By Palma

Nmeshika mike na Pen,
Juu kwa vitaa ya kifight malaria sisi wote tuko ndani,
Hizi words nataka kusema hapa mkuwe keen,
Juu maybe zinaweza save a life,
Dear Kenya Malaria Youth corps nawapongeza kwa kupigana na malaria,
Juu Kwa hii vita sisi wote tuko ndani,
Na ndio maana tunasema Zero Malaria Starts with me,
Salimia jirana yako yako na umwambie Zero Malaria starts with us all,
Mosquito bila neti,
Unapimwa Unapatikana uko na malaria,
Kitu ungeavoid rahisi hadi kushinda Bacteria,
Si uwongo malaria inaua, si huko mombasa nilicheki kwa news hao watoi walikufa,
Tukishikana tutakomesha malaria,
Si huko ghetto si huumia,
Madawa ndio zimekuwa Food juu malaria imekukaba hadi Tukatii,
Na Ndio maana tunasema kwa hii vitaa sisi wote tuko ndani,
Na Tukishikana pamoja kama Generation Z Tutakomesha malaria.

Tags:

No tags assigned to this post.

Related Posts

Top Categories

Trending News

Frozen Future
Kovu cha Kifo
Survival
Death Note
United or Justice
Kiongozi Dhalimu

Subscribe to Our Newsletter

Join our vibrant community of young poets, writers, and illustrators.